Siasa
Lazaro Nyalandu: Wana CHADEMA watu wazuri wanachowazidi wana CCM wana moyo wa kujitolea (+ Video)
Wenye moyo wa kujitoa. Ita mkutano hapa watatembea hata kwa miguu waje. Ile nia ya kutaka mageuzi na maendeleo ni halisi.
“Nawataka tu kuwaambia wana CHADEMA siasa sio matusi, siasa sio maneno machafu. Wapeleke tu hoja” MwanaCCM,
Bofya hapa chini.
https://www.instagram.com/p/COZ2x6ZB-yt/