Habari
#LIVE: Rais Samia anashiriki maadhimisho ya miaka 25 ya mfuko wa fursa sawa kwa wote (+Video)
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Sherehe ya Miaka 25 tangu kuanzishwa kwa Mfuko wa Fursa sawa kwa wote (Silver Jubilee of Equal Opportunities for All Trust Fund – EOTF ) katika Ukumbi wa JNICC – Dar es Salaam leo tarehe 27 Juni, 2022.
Kuangalia video bofya HAPA