Habari
Mabomu yalipuka Nairobi
Zaidi ya watu 24 wamejeruhiwa vibaya na watu 5 kupoteza maisha baada ya mabomu mawili kulipuka ndani ya Uhuru Park jijini Nairobi. Chanzo cha matukio hayo bado hakijafahamika
, mlipuko ulitokea baada ya mkusanyiko ya maelfu ya watu wanaopinga katiba mpya.