Michezo

Mikel Obi atua rasmi ligi ya China

Mchezaji John Mikel Obi ambaye hucheza nafasi ya kiungo baada ya kuitumikia klabu ya Chelsea kwa miaka 10 sasa ameondoka na kujiunga na klabu ya Tianjin TEDA ya ligi kuu ya Uchina.

Obi mwenye miaka 29 ambaye ni raia Wanigeria atakuwa akipokea mshahara wa pauni 140,000 kwa wiki.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents