Burudani
Mimi si Sharobaro bali ni Sharo Milionea
Mwigizaji maarufu nchini Sharo Milionea, amesema yeye jina lake ni tofauti na jina la Sharobaro, kutokana na mtazamo wa watu. anasema jina la Sharobaro watu wamelichulia kama mtu ambaye anajionyesha kwa watu yaani anajulikana kama Bitozi, lakini kwake yeye jina la Sharo Milionea, ni jina lake la kisanii na sio jina la sifa.
Sharobaro pia amesema anataka kuvumbua ujuzi mwigine zaidi katika staili yake hiyo ya mpaka poda, mpaka Karoriti, ilikuonyesha watu kwamba yeye ni msanii na sio anakopi kutoka kwa watu wengine, kama walivyokuwa wao wanamuiga.
Sharomilionea, akiwa na mabiti.