Michezo
Mkwasa aeleza mamilioni ya Yanga kutoka CAF (+Video)
Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga, Charles Boniface Mkwasa amesema kuwa fedha wanazotarajia kuzipata kutoka Shirikisho la soka Afrika CAF zitakuja kwa utaratibu maalumu na siyo kama watu wanavyozungumza.