Habari

Morogoro: Watatu washikiliwa na Polisi kwa kuchoma moto basi la abiri na kusingizia breki

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro amesema kuwa watuhumiwa hao walikula njama ya kufanya tukio hilo baada ya mmiliki kushindwa kulipa deni la basi hilo kwa moja ya taasisi ya kifedha nchini linalodaiwa kufikia zaidi ya milioni 200. Picha na Frank Kaundula.

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linawashikilia watu wa tatu akiwemo mmiliki wa Basi la Kampuni ya HBD lenye namba za usajili T 321 DKW, Ahmedi Hemed (25) kwa tuhuma za kuchoma moto basi hilo na kusingizia kuwa limewaka moto baada ya kujam breki.

Chanzo #Nipashe.

https://www.youtube.com/watch?v=dN-5I_dYJS0

https://www.youtube.com/watch?v=0m8f1gAhjhw

https://www.youtube.com/watch?v=e7KpewhhHKU

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents