Habari

Mto Swakop watiririsha maji bahari kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 11

Mto Swakop nchini Namibia umemwagika katika Bahari ya Atlantiki kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 11, kufuatia mvua kubwa iliyonyesha.

Wakiwa na simu mahiri na kamera, watu walikusanyika kwenye mdomo wa mto Jumatano kushuhudia tukio hilo nadra:

Mto Swakop hukauka katika Jangwa la Namib isipokuwa katika misimu ya mvua kali unapotiririka baharini.

Ulitiririka kwa mara ya mwisho katika Atlantiki mnamo Aprili 2011.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents