Burudani

Mume wa zamani wa msichana aliyezaa na Chris Brown achimba mkwara mzito!

Mume wa zamani wa msichana aliyezaa na Chris Brown amechimba mkwara kuwa kama muimbaji huyo akiendelea na hasira zake mbele ya familia yake ataingia kwenye matatizo makubwa na yeye binafsi.

0306-chris-brown-nia-sanchez-baby-tmz-instagram-2

Mtandao wa TMZ umeongea na Terry Amey – anayesema kuwa alimuoa Nia kuanzia mwaka 2003 – 2014 na wana mtoto pamoja wa kike mwenye miaka 13 aliyedai kuwa ndio maana anataka Chris ajue kuwa hatanii.

Terry anasema alitengena na Nia baada ya kupata mimba lakini kwakuwa alijua kuwa haikuwa mimba yake aliamua kumpa talaka. Anadai hakuwa anajua kuwa mtoto huyo ni wa Chris.

Amey ameuambia mtandao huo kuwa anajua jinsi Chris alivyo mtu wa hasira na anasema ni bora ajizuie akiwa karibu na Nia na watoto wake ama kutakuwepo na madhara makubwa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents