Habari
Namshukuru sana Rais Magufuli kwa kunialika siku ya leo ya Jumapili, najua anatafuta kura, namuombea Mungu – Rais Museveni (+Video)
“Namshukuru sana Rais @MagufuliJP kwa kunialika siku ya leo ya Jumapili, najua anatafuta kura, namuombea Mungu na nawaombea wote wanachama wa @ccm_tanzania nawatakia ushindi”- @KagutaMuseveni (+Video)