Burudani

Nay wa Mitego awatofautisha Alikiba na Diamond kwa style yake

Rapper Nay wa Mitego amewatofautisha Alikiba na Diamond kwa style yake tofauti.

Hitmaker huyo wa Sijiwezi ameiambia Planet Bongo ya EA Radio Jumanne hii, kuwa Alikiba ni msanii msanii mzuri lakini Diamond ni mfanyabiashara mkubwa.

“Leo hii ukiuliza nikutajie wanamuziki watatu wazuri Tanzania wa kwanza nitamtaja Alikiba, lakini pia ukisema nitaje wasanii watatu wakubwa wafanyabiashara basi nitamtaja Diamond Platnumz,” amesema Nay.

Nay ameongeza kuwa watu wengi wamekuwa wakijenga picha kuwa hawezi kufanya kazi na Alikiba kwa kuwa si rafiki yake wa karibu kama ilivyokuwa kwa Diamond.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents