Burudani

Nuh Mziwanda kuja na collabo na Tekno

Nuh Mziwanda amesema anakaribia kukamilisha collabo yake na msanii wa Nigeria, Tekno.

Mziwanda-2452524_n

Wimbo wa Jike Shupa ni moja kati ya nyimbo ambazo zinafanya vizuri kwenye redio kutokana na ujumbe uliokuwa ndani yake kumgusa moja kwa moja huku video yake akiwa ameachia jana.

Akiongea kwenye kipindi cha Ala za Roho, kinachoruka kupitia Clouds FM, Nuh Mziwanda alisema, “Tumeshaanza kuongea na Tekno.”

“Jamaa ana uwezo mkubwa, anajua muziki, najisikia faraja kufanya naye kazi. Ni producer mkubwa kama mimi, ni msanii mkubwa mwenye kipaji na tunashabiana maana ni mkali wa melody na wote tunategemea melody,” aliongeza.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents