Burudani

Olimpiki: Brazil yaingia nusu fainali kwenye soka la wanaume

Timu ya soka ya wanaume ya Brazil, imeingia nusu fainali ya michuano ya Olimpiki baada ya kuwachapa Colombia, 2-0.

3735F20400000578-3739756-image-a-22_1471155866896

Goli la kwanza lilifungwa na mchezaji wa Barcelona, Neymar baada ya kupiga free-kick dakika 12 tu baada ya mchezo kuanza na Luan kuongeza la pili kipindi cha pili.

3735D71600000578-3739756-image-a-17_1471155866773

Brazil sasa itakipiga na Honduras Jumatano kwenye nusu fainali baada ya kuwachapa Korea Kusini, 1-0. Ujerumani itavana na Nigeria waliowafunga Denmark 2-0 na Ujerumani kuwafunga Ureno 4-0.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents