Habari
Onyo usiige: Makomando wa JWTZ wakionesha ukakamavu katika sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar (+Video)
Makomando wa JWTZ wakionesha ukakamavu kwenye sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ambayo yalifanyika Januari 12, 1964 na kuwagomboa walio wengi, kurejesha amani, usawa na thamani ya Mzanzibar.