Burudani

Picha: 2Face apewa shahada ya heshima na chuo kikuu nchini Nigeria

Msanii wa Nigeria, 2Face amekuwa msanii wa kwanza wa nchi hiyo kupewa shahada ya heshima na chuo kikuu cha Igbinedion, Okada.

fat-joe-remy-real

Shahada hiyo ya heshima kwa 2Face alikabidhiwa ikiwa imeambatana na sherehe za kusherekea miaka 17 tangu kuanzishwa kwa chuo hicho.

kazi

Aliyekuwa Gavana wa jimbo la Edo, Chief Lucky Igbinedion ambaye ni makamu wa chuo hicho alihudhuria kwenye sherehe hizo akiwa sambamba na Prof. Sir. Victor Uwaifo na mchekeshaji maarufu wa nchi hiyo Maleke.

Tazama picha zaidi hapo chini.

160509121714_rwanda_floods_9_624x351_bbc

kazi

Chibwa

160509121714_rwanda_floods_9_624x351_bbc

222

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents