Burudani
Picha: 2Face apewa shahada ya heshima na chuo kikuu nchini Nigeria
Msanii wa Nigeria, 2Face amekuwa msanii wa kwanza wa nchi hiyo kupewa shahada ya heshima na chuo kikuu cha Igbinedion, Okada.
Shahada hiyo ya heshima kwa 2Face alikabidhiwa ikiwa imeambatana na sherehe za kusherekea miaka 17 tangu kuanzishwa kwa chuo hicho.
Aliyekuwa Gavana wa jimbo la Edo, Chief Lucky Igbinedion ambaye ni makamu wa chuo hicho alihudhuria kwenye sherehe hizo akiwa sambamba na Prof. Sir. Victor Uwaifo na mchekeshaji maarufu wa nchi hiyo Maleke.
Tazama picha zaidi hapo chini.