Videos
Picha: Bonang Matheba apigwa picha kwa style ya ‘The Matrix’ camera 40 zatumika kumchukua kwa pamoja
Bonang Matheba ni Malkia wa TV nchini Afrika Kusini. Ni mtangazaji wa TV na host wa show na events kubwa zaidi nchini humo.
Leo mrembo huyo ameshiriki kwenye photoshoot iliyotumia technique ya filamu ya The Matrix iitwayo ‘Bullet Time’ ambapo camera 40 zilizozungushwa kwa umbo la duara zimetumika kumpiga picha ili kupata picha moja yenye angle 40 tofauti na kutengeneza muonekano wa picha yenye mzunguko wa nyuzi 180.
Camera 40 za aina moja zote zilitumika kuchukua picha moja kwa wakati mmoja
Bonang akipose mbele ya camera 40
Tazama jinsi Bullet Time ilivyotumika kwenye The Matrix pale Neo alipokwepa risasi.
http://www.youtube.com/watch?v=KNrSNcaYiZg