Burudani
Picha: Davido na Tiwa Savage wafanyiwa mahojiano na TV ya Diddy, Revolt TV.
Mshindi wa tuzo ya BET 2014 ‘Best International Act: Africa’ Davido pamoja na aliyekuwa nominee mwenzake katika kipengele alicho shinda, Tiwa Savage jana (June 30) walipata nafasi ya kuhojiwa na Revolt TV ya Marekani, inayomilikiwa na rapper na mfanya biashara Sean “Diddy” Combs.
Davido
Msanii mwingine aliyepata shavu hilo ni rapper wa Chocolate City, Ice Prince pia kutoka Nigeria.
Tiwa Savage
Ice Prince
Fursa kama hizi kwa wasanii wa Afrika kupata nafasi ya kutambuliwa na vituo vikubwa vya kimataifa ni hatua muhimu na ya mafanikio kwa wasanii wa Kiafrika.