Picha Picha: Mashindano ya Foosball Copa Capabana, Dar es Salaam Bongo5 EditorApril 10, 2013 - 5:37 pm Less than a minute Facebook X WhatsApp Telegram Viber Share via Email Andrew Mahiga, Millard Ayo na Cpwaa wakishikana mikono baada ya kucheza michezo ya foosball ikidhaminiwa na Heineken. Cpwaa, Millard Ayo, Jasper na Andrew Mahiga wakicheza mchezo wa foosball ambayo imedhaminiwa na Heineken ndani ya baa ya Copa Cabana jijini Dar es Salaam Junious Mbaga na Donald Joseph wa Timu Airtel (kulia) wakishikana mkono na Timu Chelsea ambao ni Yahya Yasini na Barnaba Muhina ( kushoto) Andrew Mahiga, Millard Ayo na Cpwaa wakishikana mikono baada ya kucheza michezo ya foosball ikidhaminiwa na Heineken. Cpwaa, Andrew Mahiga na Jasper ndani ya Copa Cabana wakiwa katikati ya mchezo wa foosball ikidhaminiwa na Heineken. Bongo5 EditorApril 10, 2013 - 5:37 pm Less than a minute Facebook X WhatsApp Telegram Viber Share via Email