Burudani

Picha: Muigizaji huyu mrembo wa Tanzania kuigiza filamu moja na Ramsey Noah

Muigizaji wa filamu mrembo wa Tanzania, Salma Tamim aka Sabby Angel ambaye amepata shavu la kuwa chini ya kampuni ya Coastal Films, ya nchini Kenya, anatarajiwa kuigiza filamu moja na staa wa Nigeria, Ramsey Noah.

1560455_597737296947321_631213437_n

Sabby ameshaonekana kwenye filamu kadhaa za Tanzania ikiwemo ya Hard Price aliyoigiza na Ray na Nimekubali aliyoigiza na Dr. Cheni, Moto wa Radi na zingine. Pamoja na kuigiza, Sabby pia ni mwanamuziki.

BcQ44F5IIAABmIV

Mfahamu zaidi kwa picha hizi.

sabby-2

sabby01022014

5634_597746026946448_33543697_n

1497706_584641554923562_1365160569_n

1521270_597745926946458_1787349480_n

1525211_597737646947286_20262496_n

1525667_597738503613867_669421948_n

1530476_597737430280641_1965946491_n

1545192_597745393613178_638675325_n

IMG_1759

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents