Habari

Picha: Trump na Obama wafanya mazungumzo White House

Rais mteule wa Marekani Donald Trump alikutana na Rais Barack Obama kwa mara ya kwanza ikulu ya White House tangu ashinde uchaguzi, uadui kati yao ulijidhihirisha.
_92390082_hi036326348
Obama na Trump wakiwa na nyuso za furaha

Wawili hao kila mmoja alikuwa anamsema wenzake vibaya. Rais Obama alisema Mwanarepublican huyo hana sifa na uwezo wa kuwa kiongozi wa Marekani.

Baada ya kukutana wawili hao walishauriana kwa zaidi ya saa moja.

Waliongea maneno mazuri kuhusu umoja na umuhimu wa kupokezana madaraka kwa amani.

_92390086_melania_michelle
Melania Trump na Michelle Obama wakiwa ikulu ya White House
_92389381_trump_reu

_92389399_trump2_reu

_92389377_trump2_epa

Picha chanzo mtandaoni

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents