Habari
Picha: Trump na Obama wafanya mazungumzo White House
Rais mteule wa Marekani Donald Trump alikutana na Rais Barack Obama kwa mara ya kwanza ikulu ya White House tangu ashinde uchaguzi, uadui kati yao ulijidhihirisha.
Obama na Trump wakiwa na nyuso za furaha
Wawili hao kila mmoja alikuwa anamsema wenzake vibaya. Rais Obama alisema Mwanarepublican huyo hana sifa na uwezo wa kuwa kiongozi wa Marekani.
Baada ya kukutana wawili hao walishauriana kwa zaidi ya saa moja.
Waliongea maneno mazuri kuhusu umoja na umuhimu wa kupokezana madaraka kwa amani.
Melania Trump na Michelle Obama wakiwa ikulu ya White House
Picha chanzo mtandaoni