Mitindo

Picha: Usaili wa wanamitindo watakaoshiriki Fashion Avenue ya Ally Rehmtullah

Mwanamitindo wa kimataifa wa Tanzania, Ally Rehmtullah jana Jumapili, alifanya usaili wa models wa kike na wa kiume watakaoshiriki kwenye fashion show yake ya mwaka huu iliyopewa jina,Fashion Avenue.

7b258e50083e11e3914422000a1f98df_7
Miongoni mwa majaji, Daxx na Wema Sepetu

0d0cbb5e07fe11e3af8422000a9e28e9_7
Warembo wakichangamkia fursa

akishangaa
Jaji Wema Sepetu akishangaa kitu

Wema akichukizwa
Wema ameandika kwenye picha hii: I was definitely nat liking wat I was seeing wit dat look on my face…

Usaili huo ulifanyika kwenye hoteli ya Serena ambapo majaji walikuwa pamoja na Ally mwenyewe, Wema Sepetu Mariam Ndaba aka Missie Popular, model wa kimataifa, Daxx, model Jamillah Nyangasa, Sarah Raqey na Alfred Minja wa Mercedes-Benz.

3abd141807fe11e3b47222000a1f9e47_7
Show what you got: Wanamitindo wa kiume wakionesha vifua vyao mbele ya majaji

22ba96e607f511e38b9422000a1f8af5_7
Majaji: Kuanzia kulia ni Sarah Raqey, Jamillah Nyangasa na Ally

83db297c07f511e3b56022000a9f1354_7
Majaji wakiwa kazini

2942afb4083e11e3930d22000a1fb865_7
Warembo wakiwa kwenye mstari

a9f34d3a07f811e3998822000a1fbc5d_7

c1bd621e080911e3bb6b22000a9f3c09_7
Daxx akihojiwa na mtangazaji

cd3ae7d4082611e3a9b322000a9e5afc_7

Fashion Avenue itafanyika October 30 kwenye ukumbi wa hoteli ya Serena ambapo jumla ya wanamitindo 30 watashiriki.

Picha: Instagram/Wema Sepetu, Daxx, Sarah Raqey

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents