Habari

Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM.

Kikao hicho kinafanyika leo, Jumatatu Januari 15, 2024 Unguja, Zanzibar.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kinachofanyika leo, Jumatatu Januari 15, 2024 Unguja, Zanzibar.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kinachofanyika leo, Jumatatu Januari 15, 2024 Unguja, Zanzibar.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kinachofanyika leo, Jumatatu Januari 15, 2024 Unguja, Zanzibar.

Written by Janeth Jovin

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents