Siasa

Rais Samia awaonya Panya Road

”Kumeanza kujitokeza vitendo vya uhalifu vinavyotishia usalama wa wananchi pamoja na mali zao, kuna vijana wanaojiita Panya Road wanavamia, kujeruhi na kupora, nawaonya waache mara moja kwa sababu wanapohatarisha maisha ya wananchi wanajihatarishia maisha yao pia,”- Rais Samia

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents