Siasa
Rais Samia kufanya ziara ya siku mbili Uganda kwa mwaliko wa Rais Museveni
Rais wa Jamuhuria ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya Kiserikali ya siku mbili nchini Uganda kuanzia leo May 10-May 11 kwa mwaliko wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, hii itakuwa ni ziara ya kwanza ya Kiserikali kufanywa na Rais Samia tangu Serikali ya awamu ya 6 iingie madarakani.