Siasa
Rais Samia Suluhu: nimetoa mwaliko kwa Kenyatta awe mgeni rasmi maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu (+ Video)
”Ifikapo Disemba 9, 2021, Tanzania tunatimiza miaka 60 ya Uhuru wetu na hivyo nimetoa mwaliko rasmi kwa Rais Uhuru Kenyatta awe mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu”