Burudani
Rayvanny ahamishwa chumba BASATA, Babu Tale awatia moyo mashabiki wake (+video)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Rayvanny amehamishwa chumba alichokuwa anahojiwa awali na viongozi wa BASATA, na kupelekwa chumba kingine kwa mahojiano zaidi.
Akizungumzia ishu hiyo, Kiongozi wa WCB, Babu Tale amesema kuwa mazungumzo yameenda vizuri huku akishindwa kuelezea sababu ya kuhamishwa chumba kwa msanii wake.