Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Rayvanny amshukuru Diamond, asingekuwepo Rayvanny bila Diamond
Kwenye wimbo wa CHAMPION @harmonize_tz amejaribu kueleza namna alivyotoa kimaisha na kimuziki mbele ya @babutale @mkubwafellatmk @sallam_sk na Asake wa Tandale akimaanisha @diamondplatnumz
@harmonize_tz pia ameweka wazi kuwa @kondegang amebaki yeye na @ibraah_tz tu mbali na hilo kwenye kipindi cha #recapnamando @el_mando_tz amejaribu kuuchambua ujumbe wa @rayvanny aliotoa shukrani kwa @diamondplatnumz baada ya kusema bila @diamondplatnumz asingekuwepo @rayvanny lakini pia namna @harmonize_tz na @richmavoko walivyorudisha kwa @diamondplatnumz baada ya sapoti yake.
Pitia kwenye #recapnamando kwenda kuufahamu uchambuzi mzima kuhusu baada ya masakata yanayoendelea yanayowahusu wasanii wa Bongo Fleva.#recapnamando