Burudani
Rayvanny: Nasikiliza sana muziki wa Alikiba hasa wimbo wa Dodo
Akiongea katika kipindi cha The Switch kinachoruka wasafifm Rayvanny amesema kuwa “Lakini nishawahi kuongea kwenye interview napenda wimbo wa Alikiba #Dodo, mimi mwenyewe nasikiliza muziki wake, sina matatizo na yeye” – @rayvanny
Pia kama ulipitwa na Interview ya Aristote unaweza kuitazama hapa.