Kupitia kwenye kipindi chake pendwa cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amemzungumzia staa wa Bongo Fleva @marioo_tz na kusema kuwa ni miongoni mwa wasanii bora wa mwaka 2023.
Mbali na hilo ameongeza kuwa @marioo_tz ndio msanii aliyekuja kuwaaminisha wasanii wengi wachanga kuwa unaweza kufanya vizuri bila kusainiwa kwenye lebo yoyote.
Mbali na hilo @el_mando_tz ameichambua video ya wimbo wake SHISHA.