Michezo
Simba na Azam hakuna mbabe 1-1
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Simba SC wameambulia sare ya goli 1-1 dhidi ya Wanalambalamba Azam FC.
Mchezo huo uliyopigwa leo Mei 18, 2022 katika viwanja vya Azam Complex Chamazi wafungaji wakiwa Kola kwa upande wa Azam na Bocco kusawazisha.