Michezo
Simba SC yafikia makubaliano haya na goal keeper wa Ghana
Klabu ya Simba SC, kupitia mtandao wake wa instagram imetoa taarifa kuwa imeshamalizana na goli kipa Daniel Agyei kutoka timu ya Medeama ya Ghana na sasa mchezaji huyo ni mali ya Msimbazi.
Golikipa Daniel Agyei akisaini mkataba tayari kuitumikia klabu ya Simba
Agyei kutoka nchini Ghana amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba.