Burudani

Steve Nyerere adai atatoa filamu kubwa mwaka huu

Steve Nyerere amesema baada ya kukaa kimya kwa miaka minne bila kutoa filamu, mwaka 2016 atawapa raha mashabiki wake.

Mwenekiti wa bongomovie Steve Nyerere

“Nina miaka minne sijatengeneza wala kutoa sinema na si kwamba siuzi,” aliandika kwenye Instagram.

“Kwa mwaka nitakuwa natoa sinema 1 tu ila itakuwa zaidi ya vile tunavyofikiria, ni ubora wa hali ya juu sio kwa mwezi sinema 5, duu ni kumvuruga mteja. Maisha ni kujipanga na kujitambua unataka nini.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents