Story kuwa serikali ya Eritrea imetoa amri wanaume kuoa wake wawili lasivyo kufungwa jela ni ya uongo
Bila shaka katika pita pita zako kwenye mitandao ya kijamii umekutana na picha za utani kuhusu wasichana warembo wa Eritrea na kwamba wanaume wa nchi zingine Afrika wanapanga kukata ndege kwenda nchini humo.
Anybody knows where the Embassy of Eritrea is??? **Asking for a friend**??? pic.twitter.com/my4O8cCHxB
— IG @DjGitts (@DjGitts) January 26, 2016
Utani huo ulianza baada ya mtandao wa SDEKenya kuandika habari kuwa serikali ya Eritrea imetoa amri kuwa wanaume wa nchi hiyo wanatakiwa kuoa wake wawili na wakikiuka watakabiliwa na kifungo jela.
Hata hivyo imebainika kuwa habari hiyo ni ya uongo. Ikumbukwe kuwa SDEKenya ndio website iliyozusha kuwa Magufuli amepiga marufuku uvaaji wa sketi fupi na kuifanya ikulu ya Dar es Salaam ikanushe uzushi huo.
Fellow Africans @SDEKenya is the same publication which lied about the #Tanzania mini-skirt ban & now this hoax #Eritrea story – Stop it!
— African (@ali_naka) January 27, 2016
Ridiculous tabloid rumors by @SDEKenya on #Eritrea wives has gone viral in Africa
Polygamy is illegal but welcome those who want to visit
— Filmon Zerai (@EritreaStruggle) January 26, 2016
Ukweli ni kwamba sheria ya Eritrea hairuhusu wanaume kuoa zaidi ya mke mmoja na kwamba kama mwanaume akifanya hivyo anaweza kufungwa jela miezi 6 au 12.
Here is what the new 2015 Eritrean penal code specifically states on Polygamy & marriage
#Eritrea is a nation of law pic.twitter.com/12a6vgaZD4
— Filmon Zerai (@EritreaStruggle) January 26, 2016