Burudani
TID awapa makavu wanaotumia jina la Mnyama “wanapenda Swagg”
TID awapa makavu wanaotumia jina la Mnyama "wanapenda Swagg"
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Khalid Mohamed TID amefunguka mengi kuhusiana na muziki wake lakini pia kuhusu sanaa nzima ya muziki wa Bongo Flava.
Msanii huyo amefunguka hayo katika moja ya Interview aliyofanya na Bongo Five na kueleza nia yake na malengo yake kuhusu sanaa hii ya muziki.
TID hakuacha kuzungumzia wale wanaotumia jina la mnyama kwani yeye ndio mwanzilishi.
Fuatilia mahojiano haya:-
By Ally Juma
Kabisa kaka,kwanini kuwa mnaigiana majina ?wape makavu aho, tunajua mnyama ni TID,toka awali ,
#Waza kufikisha ujumbe kwa jamii kupitia wimbo, Jina weka pembeni
Hata yeye mwenyewe sio mnyama
Bali wanyama wapo serengeti
kuna nani anajiita mnyama tena
kuna mtu anaitwa perfect a.k.a MNYAMA MKALI KABISA
Na nyie interview moja mmetengeneza page kibao za habari. Hapa baadae kidogo mtaandika tena paragraph mbili kisha mnapost vieo hiyo hiyo. Habari moja inakatwa vipande kumi hata kama ndio kusaka clicks za web khaa.