Straika Jonathan Alawuku kutua Simba SC?
Habari
December 27, 2023 - 2:16 pm
Straika Jonathan Alawuku kutua Simba SC?
Tukiwa tupo kwenye dirisha dogo la usajili mwezi huu wa 12 mwishoni mwa mwaka miamba ya soka ya Simba SC…
Nani akatwe Simba SC dirisha hili la usajili.?
Habari
December 27, 2023 - 1:51 pm
Nani akatwe Simba SC dirisha hili la usajili.?
NANI AKATWE MSIMBAZI Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi katika Dirisha hili la usajili wanamarajio ya kuboresha kikosi chao na huku…
VIDEO: Beki wa Yanga Kibanwa Shomary afunguka kuhusu ushindi wa Twaha Kiduku
Habari
December 27, 2023 - 12:25 pm
VIDEO: Beki wa Yanga Kibanwa Shomary afunguka kuhusu ushindi wa Twaha Kiduku
Beki wa Klabu ya Yanga, Kibanwa Shomary amemkingia kifua Bondia Twaha Kiduku kutokana na ushindi aliyopata usiku wa jana akiwa…
Pacome aishukuru Yanga
Habari
December 27, 2023 - 12:11 pm
Pacome aishukuru Yanga
Kiungo wa Yanga Pacome Zouzoua amefanikiwa kujumuishwa kwenye kikosi cha Taifa lake Ivory Coast kwa mara ya kwanza. Pacome amejumuishwa…
VIDEO; Kauli ya Twaha Kiduku baada ya kumpiga Mohamed Sebyala
Habari
December 27, 2023 - 12:04 pm
VIDEO; Kauli ya Twaha Kiduku baada ya kumpiga Mohamed Sebyala
Bondia Twaha Kiduku baada ya kumchapa Mohamed Sebyala kutoka Uganda
Ahmed Ally apiga dongo mchana kweupe: Mmeajiriwa 10 Idara moja
Habari
December 24, 2023 - 5:55 pm
Ahmed Ally apiga dongo mchana kweupe: Mmeajiriwa 10 Idara moja
Kutoka kwa semaji la CAF, Ahmed Ally…. Kwenye sanaa ya Mawasiliano hakuna katika nyie anaweza kunifikia hata robo ndo maana…
Yaliyomkuta Niyonzima yatamkuta Chama
Habari
December 22, 2023 - 7:19 pm
Yaliyomkuta Niyonzima yatamkuta Chama
Kipindi Cha nyuma kwenye ligi kuu soka Tanzania bara unapotaja jina la mchezaji fundi kutokana na kiwango chake uwanjani na…
Uwanja unaotumiwa na Simba Ligi Kuu wafungiwa
Habari
December 22, 2023 - 11:28 am
Uwanja unaotumiwa na Simba Ligi Kuu wafungiwa
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa Uhuru Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi Kuu…
Huyu sio Drogba ni Valentino Mashaka
Habari
December 22, 2023 - 10:38 am
Huyu sio Drogba ni Valentino Mashaka
Bwana mdogo amefikisha magoli manne katika msimu wake wa pili na akiwa amepata nafasi katika michezo yote Klabu yake ya…
Chama, Kapama wasimamishwa Simba
Habari
December 21, 2023 - 6:04 pm
Chama, Kapama wasimamishwa Simba
Uongozi wa Klabu ya Simba umewasimamisha wachezaji Nassor Kapama na Clatous Chota Chama kutokana na vitendo vya utovu wa Nidhamu.…
Yanga, Simba katika ndoto za kuvuka Makundi
Habari
December 21, 2023 - 12:49 pm
Yanga, Simba katika ndoto za kuvuka Makundi
Katika mechi za awali timu pekee zilizokuwa zinawakilisha Tanzania ni Yanga SC pamoja na Simba ziliingia na miguu mibaya katika…
Mtambo wa magoli kutoka Norway watua Taifa Stars
Habari
December 21, 2023 - 11:56 am
Mtambo wa magoli kutoka Norway watua Taifa Stars
Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Norway ‘Eliteserien’, Amahl Pellegrino anayekipiga Bodo/Glimt ni miongoni mua wachezaji 53 walioitwa na Kocha Adel…
Simba vs Wydad Benjamin Mkapa (+Video)
Habari
December 19, 2023 - 2:08 pm
Simba vs Wydad Benjamin Mkapa (+Video)
Mashabiki wa Simba wakizungumzia mchezo wao dhidi Wydad Benjamin Mkapa
Yanga yaitumia salamu Madeama.?
Habari
December 16, 2023 - 8:43 pm
Yanga yaitumia salamu Madeama.?
Ushindi mnono waliyopata @yangasc leo wa 4-1 mbele ya Mtibwa Sugar ni dhahiri watakuwa wametuma salamu kwa Klabu ya Madeama.…
Karia amteua Injinia Hersi ujumbe wa maandalizi ya AFCON
Habari
December 16, 2023 - 3:27 pm
Karia amteua Injinia Hersi ujumbe wa maandalizi ya AFCON
Rais wa Shirikisho la Mpira wa miguu Nchini Tanzania (TFF) Wallace Karia amemteua Rais wa klabu ya Yanga Injinia Hersi…