Habari
Dkt Magufuli aapishwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (Video)
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John pombe Magufuli ameapishwa kuwa Rais wa Tanzania katika viwanja vya jamuhuri Dodoma.
Viongozi mbali mbali na raia wa Tanzania pia wameshuhudia tukio hilo
https://youtu.be/kHeUG6LQMpU