Burudani

Khaligraph Jones, Nyashinski kuamsha popo na Rick Ross Kenya

Weekend hii inayokuja rapper kutoka nchini Marekani, Rick Ross anatarajiwa kufanya show ya kipekee nchini Kenya.

Show hiyo ambayo imeandaliwa na NRG Radio itafanyika April 28, 2018. Rick Ross anatarajiwa kupanda jukwaani na Khaligraph Jones na Nyashinski kutoka Kenya.

Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Rick Ross kufanya show Afrika Mashariki, kwa mara ya kwanza alifanya show Tanzania mwaka 2012 katika tamasha la Fiesta.

Rick Ross anagonga vichwa vya habari tena Afrika Mashariki ikiwa ni miezi minne imepita tangu ashirikishwe na Diamond katika ngoma yake inayokwenda kwa jina la Waka.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents