Tragedy
Mr Blue aondokewa na mama yake
Msanii wa kizazi kipya Mr Blue ‘Kabaisa, Babyloom’ juzi siku ya juma mosi amepatwa msiba na mama yake mzazi Bi Halima, ambaye alifariki dunia mchana wakati msanii huyo akiwa kwenye tamasha la Epiq Nation lililokuwa likifanyika Zanzibar.
Mama wa mwanamuzki huyo alizikwa siku ya jumapili….. Bongo5 na wadau wote tunamtakia moyo wa uvumilivu kipindi hiki kigumu, awe na moyo wa subira na uvumilivu.
Amin……..