Kampuni ya MultiChoice Tanzania imeipuka kidedea na ushindi wa cheti cha banda bora kwenye maonesho ya 42 ya kimataifa ya biashara yanayoendelea katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es salaam.
MultiChoice wameshinda cheti cha banda bora kwa upande wa mabanda ya bidhaa za Teknolojia ya Mawasiliano kupitia banda lao la DStv.