Bongo Movie
Picha: Kinachoendelea kwenye ndoa ya Shamsa Ford muda huu
Haya ni baadhii ya matukio ya ndoa ya malkia wa filamu Shamsa Ford ambayo inatarajia kufanyika muda mfupi ujao hapa nyumbani kwao Sinza Afrikasana jijini Dar es salaam.
Shamsa akishuka kwenye gari tayari kwa kufunga ndoa
Mwigizaji huyo ambaye anafanya vizuri katika tasnia ya filamu anafunga ndoa na mfanyabiashara wa nguo, Chidi Mapenzi. Angalia picha
Dully Sykes akiwa eneo la tukio
Mke mtarajiwa wa Chidi Mapenzi