Picha

Picha: Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) wafungwa baada ya kutokea moto

Serikali ya Kenya imeufunga kwa muda uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta, JKIA wa jijini Nairobi baada ya kuzuka moto mkubwa kwenye eneo la kufikia na kusababisha shughuli kusimama.

BRC5RQNCIAIaGFh
Wafanyakazi wa zima moto wakiendelea na shughuli za kuuzima moto huo

Shughuli za kawaida kwenye uwanja huo wa ndege zinatarajiwa kuendelea baada ya moto huo kuzimwa kabisa.

2
Moto mkubwa ukiendelea kuwaka

3

4

Rais Uhuru Kenyatta na maafisa wengine wa serikali waliwasili kwenye uwanja huo kuangalia tukio hilo lililoishtua Kenya. Ndege zote zilizokuwa ziwasili leo zimeelekezwa kwenye kutua kwenye viwanja vya ndege vya Mombasa na Eldoret nchini humo.

6

8

9

BRC0IYgCcAA9CaV

BRC1pB1CUAAxDne

Moto huo ulianza mida ya saa 10 alfajiri na kwa mujibu wa taarifa za sasa tayari umezimwa.

Hata hivyo chanzo chake bado hakijajulikana.

BRC5RQNCIAIaGFh

BRCgLMNCEAEpCd2

BRCmSOPCcAALHLi

Serikali imesema wafanyakazi wa zima moto walizidiwa kutokana na kuenea kwa haraka kwa moto huo uwanjani hapo na watu wote wameondolewa kwasababu za kiusalama. Hakuna majeruhi

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents