Tamasha la ZIFF laiva
Tamasha la Filamu la Zinzibar , Zanzibar International Festivel Film, limeanza mikakati ya kuanza baada ya kufanya ufunguzi katika Hoteli ya Moven Pick na kuhudhuliwa na wadau mbalimbali.
Katika tamasha hilo, waliweza kuhudhulia wasanii na wadau wengine wa filamu na mitindo, ili kuunga mkono kwa juhudi za kuendeleza tamasha hilo kwa la ZIFF la 14….
Wadau wakifuatilia filamu ambayo ilikuwa ikionyeshwa….
Amini akiwa na wasanii wenzake toka THT, wakifuatlia filamu katika ukumbi wa Moven Pick, baada ya kutoa buludani
Anajulikana kama Musa aliyekuwa akitangaz katika stesheni fulani katika kipindi cha Uswazi, naye alikuwepo kama mdau wa filamu
Mwanamitindo Hassanali naye alikuwepo katika kuunga mkono filamu za Tanzania
Faridi Kubanda aka Fid Q, mwanamuziki wa Hip Hop nchini, naye alikuwepo kuwakilisha wanamuziki wenzake wasio kuja.
Ditto wa THT
Ay
Barnaba naye alikuwepo akiwa miongoni mwa wasanii waliokuja kubuludisha pamoja na wenzake wa THT