Washindi wa Mini ZIFF Red Capert New Maisha Club
Tamasha la Mini ZIFF Red Capert jana lilifanyika kwa mbwembwe zote kwa kutoa wasanii ambao walifanya vizuri katika mwaka uliopita jambo ambalo limeonyesha wazi kwamba tamsha hilo ambalo lenyewe litafanyika hapo baadae litakuwa na ushindani mkubwa sana. Baadhi ya wasanii ambao walitwa tuzo hizo ni Cloud 112 ametwa kama muongozaji bora wa filamu, Zoba msanii anayechipukia, Kanumba kachukua tuzo mbili, msanii bora wakati Ray kachukua tuzo moja, filamu bora ikaenda kwa Jb,Pilipili wamechukua tuzo moja, Rose Ndauka na wengine.
Zaidi ya mtanange huo wa kutolewa kwa tuzo pia kulikuwa na mtanange mwingine kutoka kwa AT na Off side trick, yaani hapo alidondoshwa Bata, Samaki, Kidudu mtu kisha wakacheza na Bao la kete, yote hayo yalijiri jana pale Maisha Club..
Hawa ni Off Side Trick wazee wa Midege
Cloud 112 akitwa tuzo yake