Yanga wakata keki Nyumbani Lounge
WACHEZA wa timu ya Yanga Sport Club waliamua sherehe yao kuimalizia Nyumbani Lounge , kwa Lady Jay Dee kwa kuwaalika wadau mbalimbali wa timu hiyo kwa kushangilia kwa pamoja kombe walilolivua kwenye uwanja wa Taifa katika mashindano Ya Kagema kwa kuifunga Simba bao1 bila.
Katika kuonyesha ushirikianao wao na wasanii mbalimbali wa filamu, waliwaalika kwa wingi huku wengine wakiwa wa timu ya Simba lakini wakasema karibuni. Baadhi ya picha wasanii walivyokuwa wakienjoy..
hapa Salum Shebe na Cannavaro wakiwa kwenye pozi kama hivi.
Aunt Ezekiel na Shebe kwenye pozi la pamoja
Chopa Mchopanga, naye aliamua kula pozi la kihivi….
Gadner akiwa kwenye shughuli ya kuwakarimu wageni wake kwa kuhakikisha huduma inakwenda vizuri hapo kwenye Raustarant ya Nyumbani Loudge
Mwigizaji wa fila Hatman, akipata kinywaji
Ikafika zamu ya Kanumba na Jb kutoa usia kwa niaba ya wasanii wenzao wa filamu
Mwanamuziki Judith Wambura, akiwa kwenye pozi, kuhakikisha mambo yanaenda sawa kwa kumsaidia mumewe Gadner kwenye shughuli nzima .
Wasanii wa Bongo Movie, wakiwa kwenye pozi la pamoja kuhakikisha wanawaunga mkono Yanga wakiongozwa na Kate
Jb akitoa wosia wake kama mchezaji wa Simba ambaye amewawakilisha wasanii wake wa Simba, akiwa na Kifukwe.