Habari
Nitailinda amani kwa nguvu zangu zote – Rais Magufuli (+Video)
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema atailinda amani ya nchi kwa manufaa mapana ya Watanzania huku akitoa mfano wa maneno ya kwenye biblia ambayo yanasema kuwa hata Bwana Yesu alisema anatuachia amani.