BurudaniPicha

AKA aziita nguo za Kanye West ‘takataka’, azisifia zake za ‘Supa Mega’

AKA ameziponda nguo za rapper Kanye West, kwa kuziita takataka.

14145473_1025688334195090_1301850578_n

Akiongea kwenye Twitter wakati ambapo naye ameingiza nguo zake sokoni, AKA ameziponda nguo za Kanye na kudai kuwa zina ubora mdogo. Nguo za Kanye zinauzwa kwenye duka la muda huko Cape Town na AKA amedai kuwa nguo hizo zimetengenezwa kwa t-shirt duni za jumla.

“Our MERCH quality is better than the Cape Town PABLO MERCH …. They printed over rubbish wholesale T shirts. Ask anyone who copped there,” aliandika.

Nguo za Kanye West ziliuzwa Cape Town wiki mbili zilizopitwa na kuvutia wateja wengi.

Kupitia Instagram, AKA ameonesha nguo zake hizo.

14156468_203211133417692_396627984_n

14240597_371103533277595_1371216827_n

14288119_937507823026060_379461549_n

14295465_1220878751304302_1352576051_n

14359949_182535892172893_1746776091_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents