Burudani

Alikiba ampiku Diamond Youtube, aweka rekodi viewers mil 1 ndani ya masaa 12 (+ Video)

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba ameweka rekodi mpya baada ya ngoma yake ya #Jealous aliyomshirikisha msanii kutoka Nigeria @iammayorkun kufikisha viewers milioni moja ndani ya masaa 12.

Siku ya Jana ngoma iliyokuwa inashirikilia rekodi hiyo kwenye muziki wa Bongo Gleva ni #Iyo ya @diamondplatnumz ambayo ilifikisha milioni moja ndani ya masaa 13.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents