Mahojiano
Bonga afunguka yote yaliyopelekea kuacha kufanya kazi za Harmonize – Video
Aliyekuwa Producer wa @harmonize_tz ambaye kwa sasa ameacha kufanya nae kazi @officialbonga_ amefunguka kiundani kilichomtoa .
Akiongea na Bongo5 @official Bonga_ ameeleza kuwa aliamua kuondoka kwa sababu aliyokuwa anaahidiwa hakutimiziwa lakini pia hakuwahi kunufaika na chochote kutokana na ngoma kali alizowahi kumtengenezea HARMONIZE
Baadhi ya ngoma alizowahi kuzitengeneza BONGA za @harmonize_tz ni pamoja na UNO, NEVER GIVE UP, MAMA, ATARUDI, KUSHOTO KULIA, ONE NIGHT ya @ibrahh_tz na nyinginezo.
@officialbonga_ ameongeza kuwa mpaka anafikia uamuzi wa kuacha kufanya kazi na @harmonize_tz alifukuzwa kwenye nyumba aliyokuwa akiishi na kuanza kulala studio lakini @harmonize_tz alikuwa anaona ni sawa kuwa mfanyakazi ana lala kazini.