Burudani

BBA The Chase: Feza Kessy akata tamaa, ni miujiza nikibaki’

Feza Kessy ameonesha kukataa tamaa na uwezekano wa kupona panga la kesho kwenye eviction ya Big Brother Africa.

374442_500432656704965_690117850_n

Wakati akifua nguo zake bafuni, mrembo huyo alipewa kampani na Beverly na Elikem na kuwaambia kuwa haoni dalili kama ataukwepa msumeno wa kesho.

“Hakika, kama nitapona eviction ya Jumapili hii itakuwa ni miujiza tu,” alisema Feza.

“Ni ngumu kwa wapenzi kwenye nyumba hii. Angalia kilichotokea kwa LK4 na Koketso. Wote walitolewa usiki mmoja. Nadhani kitu kile kile kinaenda kutokea kwetu.”

Unahisi Feza anaweza kupona?

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents