Afya
Chanjo ya COVID-19 itolewe kwa vipaumbele kwa kuanzia kwa wahudumu wa afya – Prof. Said Aboud M/Kiti Kamati
“Chanjo ya COVID-19 itolewe kwa vipaumbele kwa kuanzia kwa wahudumu wa afya, watumishi wa umma, viongozi wa dini na mahujaji, wazee, wenye maradhi sugu, watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama na wasafiri wanaokwenda nje ya nchi”-Prof. Said Aboud M/Kiti Kamati